SOMO: MAOMBI YA KUFUTA LAANA ZINAZOTUFATILIA . Utangulizi. Laana ni maneno yanayotamkwa kinyume na Baraka,katika maisha ya mtu. Mfano. Yesu alipouendea mtini ili apate kula matunda yake alipoona hauna matunda aliulaani ukakaukaa mara moja. Marko 11:11-14. Na asubuhi yake wanafunzi walipopita kwenye ule mtini waliukata umenyauka Marko 11:20. Laana inaweza kuwa ni ya maneno au kuwa ya kufanya wewe mwenyewe. REUBENI : Alilala na Suria wa baba yake akajipatia laana kutoka kwa Baba yake YAKOBO, kipindi Yakobo anawabariki wanawe yeye hakumbariki bali alimlaani asiwe na UKUU WOWOTE. Mwanzo 49:3-4. Hii ilikuwa laana ya REUBENI kujitengenezea yeye Mwenyewe na wapo Watu wengi mno ambao wamejitakia laana kwa kufanya weneywe kwa mikono yao wenyewe. Mfano unakuta kijana anampiga mama yake mzazi au Baba yake mzazi ata kama mzazi amekukosea vipi hutakiwi kumpiga au kumnfokea yule
Search This Blog
INJILI YA KRISTO ZANZIBAR
Kwa maana kwa moyo Mtu huamini hata kupata haki,na kwa kinywa hukiri hata kupata wokovu. WARUMI 10:10
Posts
Featured
Latest Posts
: MAOMBI YA KUTUBU KWA AJILI YA CHANZO CHA MAGONJWA UNAYOTAKA YAONDOKE KWAKO AU KWA UNAOWAOMBEA.
- Get link
- Other Apps
MAOMBI YA KUVUNJA VIFUNGO VILIVYOTUFUNGA NA VILIVYOTUZUNGUKA.
- Get link
- Other Apps
MPE BWANA KIPAUMBELE KATIKA KUMTUMIKIA.
- Get link
- Other Apps
TUMERUDI HEWANI TENA BAADA YA KUTUKOSA KWA MDA MREFU SANA.
- Get link
- Other Apps