KARIBU TUJIFUNZE:



Mwanzo:6-9; Nuhu  alikuwa  mtu  wa  haki  na  mkamilifu  mbele  za  BWANA na katika  vizazi   vyake vyote.
Mwanzo  6:18 Mungu  anafanya  agano   na  Nuhu  ili   liwe  thabiti.
 Mwanzo  18:23-33   Ibrahimu  anamuombea  LUTU  asiangamizwe.
Mwanzo 12:12 Wakuu  wa  farao wanamsifu  na  kumpeleka kwa  mfalme  ili  awe  mme  wake.
Mwanzo 12:17 Mungu  anampiga  farao  na  nyumba   yake  mapigo  makuu  kwa  ajili  yua  sara  mke  wake ibrahimu.
Mwanzo 20:1 Ibrahimu  anaenda   nchi  ya kusini na  kukaa katika katika  nchi nya   kadeshi   na  shuri.
·    Abimeleki  akamtwaa  sara kuwa  mkewe  ila  M ungu  akamwambia Abimeleki  mfalme  umekua  mfu  kwasababu ya  mwanamke uliyemtwaa  ni  mke  wa mtu.
·    Kwa  dhambi  ya  kulala  na  make  wa  mtu Mungu alikuwa  amewafunga  matumbo  ya  wanawake  wote wasizae.

Mwanzo 39.Mke  wa  potifa anamlaghai  yusufu  alale naye  kimapenzi ila  kwasababu  ROHO ya kumcha  MUNGU ilikuwa  ndani  yake  aliweza  kuikimbia  dhambi.
·    Yusufu  anauzwa  na  ndugu  zake  na kuchukiwa  kabisa.
-       Mwanzo 37-Aliota  ndoto na  kuwambia  ngu  zakea matokeo  yake wakamchukia  na  kumuuza  kwa  Wamisri.
-       Alisema  matendo  yao  watoto  wa  Zilpa  na Bilha,na  ndugu  zake  wakafanya  shauri  la  kumuua  ila  REUBENI  anasimama  kumtetea ili  kuokoa  nafsi  yake isiuawe.
-       Aliuzwa  kwa  Wamidiani.
-       Wamidiani  -  Wamisri
-       Wamisri  -  Potifa

MATENDO  ALIYOMTENDEA  BWANA.

1: Alikuwa  ni  mkuu  katika  nyumba  ya  Potifa yaani  msimamizi  wa  nyumba  yakena  mali  zake.
2:  Mungu anampa  kibali  machoni  poa  mkuu  wa  gereza  anakuwa  msimamizi na  mkuu  wa  wafungwa.
3:  Anatolewa  gerezani  ili  akatafsiri   ndoto za mfalme  Farao.
4:  Farao  anamuweka  kuwa  liwali  mkuu  wa  nchi  ya  misri  nzima  kwa a akusimamia  mali  zote  za mfalme.


 Mungu  akubariki sana mwana  wa Mungu 

Ni mimi  ndugu  yako 
Baraka Audax
Injili ya Kristo  Zanzibar.
0717 461006.

Comments

Popular Posts