HARIBU MAJINI MAHABA YA NDOTONI.
Karibu tuzibomoe ngome za shetani ambazo hutenda kazi ndotoni hadi hadharani.
Ndugu mmoja aliniuliza swali ambalo
ndilo lilipelekea MUNGU kunipa ujumbe huu, ndugu huyo aliuliza kwamba ''
Naota mara kwa mara nafanya mapenzi na watu tofauti tofauti ndotoni,
watu hao wengine nawafahamu na wengine siwafahamu naomba unisaidie kujua
maana yake na jinsi ya kuzuia jambo hili ambalo hunifanya nijichafue
kila siku, na wakati mwingine nikiamka nakuta dalili zote za kwamba
nilifanya mapenzi muda mfupi uliopita, na hata uchovu nakuwa nao.
UBARIKIWE''
BWANA YESU asifiwe.
Ngoja nikufundishe jambo hili kuhusu ndoto hizo chafu.
Ukiota unafanya
mapenzi ndotoni maana yake una jini mahaba au jini maimuna. Yaani kama
wewe ni mwanamke basi una mme wa rohoni ambaye ni jini na kama wewe ni
mwanamume basi tambua kwamba una mke wa rohoni wa kipepo ambaye siku
akitaka kuja huja na wewe unaona ni ndoto kumbe alikuja na kufanya ngono
na wewe na haya yanatokea kwa mtu ambaye hana ulinzi wa damu ya YESU
KRISTO.
Kuna aina 3 za mashetani.
1. shetani mwenyewe.
2. wakuu wa idara za kipepo.
3. watenda kazi.
maimuna ni mmoja wa wakuu wa vitengo wa shetani, na kitengo chake ni
kuleta ukahaba kwa wanadamu. Watenda kazi ni majini hawa wa kawaida
ambao hutumwa na maimuna kuja kufanya ukahaba na wanadamu ambao hawana
ulinzi wa damu ya YESU KRISTO. maimuna anaweza kutuma jini la kike kwa
ajili ya kwenda kufanya mapenzi na wanadamu wanaume na na kama
mwanadamu aliyekusudiwa ni mwanamke basi hutumwa jini la kike. na majini
yote ya ukahaba yanaitwa maimuna na wakati mwingine kwa sababu majini
haya ni viumbe wa kiroho huweza kuwaingia watu kabisa na kuwatumikisha
kipepo. Ndio maana wengi tumewaombea na mapepo yakiwa yanatoka husema
wao ni maimuna, ukisikia hivyo wewe mtumishi wa MUNGU tambua kwamba
unayemuombea alikuwa anateswa na jini mahaba au jini maimuna. maimuna ni
ukoo wa majini mahaba yote ndio maana nimewahi kumwombea mtu nikiwa
Zanzibar akiwa anateswa na jini mahaba au maimuna na hata hapa Dar
nimewahi kumwombea Dada mmoja ambaye naye alikuwa na jini mahaba, hivyo
unaweza kushangaa kwamba jini mahaba wa Zanzibar kafikaje Dar kumbe jina
hilo maimuna ni jina la ukoo wa majini yote ya ukahaba.
mapepo haya
yakimwingia mtu mtu huyo hubadilika mara moja. Kama mme au mke alikuwa
mwaminifu kwenye ndoa yake basi yakimwingia haya majini mahaba huanza
kutokuridhika na mwanandoa mwenzake na kuanza kutoka nje ya ndoa, ni
hatari sana .
Wapo wadada wengi hujiuza miili yao, chanzo ni jini mahaba
aliyewaingia.Ndugu yangu ukiota ndoto za kufanya mapenzi mara kwa mara
kemea sana jambo hilo kwa maombi ya vita kupitia jina la YESU KRISTO.
Yohana 8:36 Biblia inasema ''BWANA YESU akikuweka huru , utakuwa huru
kwelikweli.''
-Atakuwa ameingia agano na mashetani.
-hakikisha unampokea BWANA YESU kuwa BWANA na MWOKOZI wa
maisha yako na baada ya hapo
-uwe mtu wa vita yaani mwana maombi na tena
-hakikisha kila siku kabla ya kulala unaomba maombi kwamba damu ya YESU
KRISTO ikuzingire pande zote maana Tunamshinda shetani kwa damu ya
Mwana kondoo YESU KRISTO-uFUNUO 12:11.
Na kwa sababu ya uonevu wa shetani
na majini yake kuzidi sana duniani '' Kwa kusudi hili BWANA YESU
alidhihilishwa ili azivunje kazi zote za shetani- 1 Yohana 3:8b.
JIFUNIKE KWA DAMU YA YESU SIKU ZOTE KWA MAOMBI HAYA.
BWANA MUNGU Ninakushukuru Kwa Kunilinda, Asante Kwa Damu Ya Mwanao YESU KRISTO Inenayo Mema Siku Zote. Najifunika Kwa Damu Ya YESU KRISTO, Ninawafunika Ndugu Zangu Wote Kwa Damu Ya YESU KRISTO, Nafunika Familia Yangu, Ndugu Zangu, Nyumba Yangu, Biashara Yangu, Ofisi Yangu, Chakula Changu, Fedha Zangu, Kiwanja Changu, Rafiki Zangu, Majirani Zangu Huduma Yangu Na Kila Kinachonihusu Kwa Damu Yenye Nguvu Ya YESU KRISTO Wa Nazareth. Ninalifunika Anga Lote, Nchi Yote Na Bahari Yote Kwa Damu Ya YESU KRISTO. Imeandikwa Katika Ufunuo 12:11 " Nao Wakamshinda(shetani) Kwa Damu Ya Mwana Kondoo(YESU) Na Kwa Neno La Ushuhuda Wao" Ewe shetani, Nimeitumia Damu Ya YESU KRISTO Kukushinda Sasa Na Hata Milele Katika Jina La YESU KRISTO, jini mahaba nakutetekeza kwa jina la YESU KRISTO maana Neno la MUNGU katika Yeremia 1:10 kwamba MUNGU ameniweka juu ya falme zote za mashetani ili kuwang'oa mashetani, na kuwabomoa na kuwaharibu na kuwaangamiza kwa jina la YESU KRISTO. Sasa nawaangamiza majini wote waliotumwa kwangu kutoka kuzimu kwa jina la YESU KRISTO Amen.
BWANA MUNGU Ninakushukuru Kwa Kunilinda, Asante Kwa Damu Ya Mwanao YESU KRISTO Inenayo Mema Siku Zote. Najifunika Kwa Damu Ya YESU KRISTO, Ninawafunika Ndugu Zangu Wote Kwa Damu Ya YESU KRISTO, Nafunika Familia Yangu, Ndugu Zangu, Nyumba Yangu, Biashara Yangu, Ofisi Yangu, Chakula Changu, Fedha Zangu, Kiwanja Changu, Rafiki Zangu, Majirani Zangu Huduma Yangu Na Kila Kinachonihusu Kwa Damu Yenye Nguvu Ya YESU KRISTO Wa Nazareth. Ninalifunika Anga Lote, Nchi Yote Na Bahari Yote Kwa Damu Ya YESU KRISTO. Imeandikwa Katika Ufunuo 12:11 " Nao Wakamshinda(shetani) Kwa Damu Ya Mwana Kondoo(YESU) Na Kwa Neno La Ushuhuda Wao" Ewe shetani, Nimeitumia Damu Ya YESU KRISTO Kukushinda Sasa Na Hata Milele Katika Jina La YESU KRISTO, jini mahaba nakutetekeza kwa jina la YESU KRISTO maana Neno la MUNGU katika Yeremia 1:10 kwamba MUNGU ameniweka juu ya falme zote za mashetani ili kuwang'oa mashetani, na kuwabomoa na kuwaharibu na kuwaangamiza kwa jina la YESU KRISTO. Sasa nawaangamiza majini wote waliotumwa kwangu kutoka kuzimu kwa jina la YESU KRISTO Amen.
Kwa
sasa naishia hapo, MUNGU akitupa nafasi tutajifunza tena siku
nyingine.na kama hujampokea BWANA YESU muda wa kumpokea ni leo wala sio
kesho, amua leo na atakuandika jina lako katika kitabu cha uzima na
utaanza kuukulia wokovu kwa mafundisho kanisani. MUNGU ana makusudi
kabisa na wewe, hataki upotelee motoni anataka uende uzimani aliko
KRISTO BWANA.
MUNGU akubariki sana .
Ni mimi ndugu yako
Baraka Audax
Injili ya Kristo Zanzibar.
0717461006
MUNGU akubariki sana uliyesoma somo hili.
MUNGU Akubariki.
MUNGU akubariki sana .
Ni mimi ndugu yako
Baraka Audax
Injili ya Kristo Zanzibar.
0717461006
MUNGU akubariki sana uliyesoma somo hili.
MUNGU Akubariki.
KWA WENYE SHIDA MBALI MBALI UTAJIRI KAZI NA KINGA
ReplyDeleteKARIBU KWA DR MDIRO
Kwa wenye shida mbalimbali kama Kusafisha nyota, kumvuta mpenzi aliye mbali, kumtuliza mpenzi wako, n.k nipigie 0742162843
Pia katika katika kipindi hiki cha kampeni kama unahitaji mvuto kuweza kupata uongozi Karibu Pete zipo pia dawa zipo nipigie Simu husitume SMS kuhepuka matapeli.
PIA KWA UHITAJI WAMALI,UTAJIRI AU FEDHA ZA NDAGU AU MAJINI KWA MUDA MFUPI MPAKA MASAA 72(SIKU 3) PAPO HAPO KWA MASHARTI MAALUM KIKUBWA UWE MWAMINIFU, JASILI NA UWE NA UTAYARI WA KUPOKEA MASHARTI YA KUTUNZA SIRI HII SIO MZAHA......
KUMBUKA MALIPO NI BAADA YA KUFANIKIWA
kwa maelezo kamili piga namba +255742162843
(KWANINI USUMBUKE,HACHA KUTANGATANGA, NA MAISHA NI MAFUPI PUUZA UONGOFU WA KUWA MTU KUWA TAJIRI NI DHAMBI WAKATI AKUAMBIAE YEYE NI TAJIRI (Tumia ufahamu kujinasuaUTAJIRI WA NDAGU(MASHARTI) NDANI YA MASAA 72(SIKU TATU) PAPO HAPO KIKUBWA UWE MWAMINIFU, JASILI NA UWE NA UTAYARI WA KUPOKEA MASHARTI YA KUTUNZA SIRI HII SIO MZAHA......
NAITWA DR, MDIRO piga 0742162843. KAMA UNAITAJI PESA ZA MAJINI AU NDAGU YA MALI AU ULINZI KWA MALI YAKO
(HUSITUME SMS PIGA SIMU KUHEPUKA MATAPELI)
MATIBABU MENGINEYO NI KAMA UTULIVU KATIKA NDOA, AU KUMVUTA UMPENDAE, KUONDOA MIKOSI, MABALAA, KUOSHA NYOTA, KUITAMBUA NYOTA YAKO NA ASILI YA KAZI YAKE, KAMA UNASUMBULIWA NA MAJINI MAHABA NA SHIDA YA UZAZI.
NIPIGIE 0742162843. KIKUBWA NI KUSIKILIZA NA KUFATA MASHARTI. ANGALIZO USITUME SMS PIGA NA UWE NA NIA.
(kuhusu utajiri au pesa) KABLA YA KUPIGA SIMU ZINGATIA YAFUATAYO
1. uwe una umri wa miaka 18+
2. uwe tayari kupokea masharti yote
3.uwe na uwezo wa kutunza siri
4. uwe jasiri wa kupokea taarifa yoyote
KARIBU SANA KWA SHIDA NYINGINE PIA ULIYONAYO AMBAYO SIJATAJA INSHAALAH ITATATULIWA IKIWA NDANI YA UWEZO WANGU.