Matukio mbalimbali katika kanisa la EAGT CITY CENTRE

Mchungaji Flarian Katunzi akiomba Juu ya Taifa la Tanzania

Waumini wa Kanisa la EAGT CITY CENTRE wakiomboleza katika maombi ya kuombea Taifa
 
 
Mchungaji Florian Katunzi akifanya maombezi


Watu wakiwa wanaudumiwa na Nguvu za Mungu




Mchungaji Katunzi akipita katikati ya kundi la watu na kuwaombea unaweza kuona jinsi walivyo wengi na atamuombea kila mmoja



Comments

Popular Posts